Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, November 23, 2011

Gereji

Jamaa alipeleka gari yake kwa fundi:
Jamaa: Fundi gari yangu nkikata kushoto wakati inatembea inapiga kelele na kulia ivo ivo.
Fundi akaicheki huku na kule na baadae kudai chake.

Fundi: Gharama yake itakuwa elfu 20.
Jamaa: Tatizo lilikua nini?
Fundi: Tatizo bado lipo, ukifika kalishushe bakuli lipo kwenye buti ya gari yako.

No comments:

Post a Comment