Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, November 16, 2011

Tv na kochi

Jamaa: ...wameniibia kila kitu kasoro Tv na kochi.
Polisi: Imekuwaje waibe vyote waacha ivo tu?
Jamaa: Wakati wanaiba nlikua naangalia Tv kwenye kochi.

No comments:

Post a Comment