Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, November 12, 2011

Mifupa ya binadamu

Jamaa akipewa majibu na daktari wake baada ya uchunguzi "inaonekana mifupa ya miguuni mwako imekua laini sana saasa..." Akamkatisha na kumuambia "shhh taratibu dokta hapo nje kuna mbwa wanne watasikia"

No comments:

Post a Comment