Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, November 11, 2011

Swali na jibu

Kijana alimuuliza maswali ya chemsha bongo mtoto:
Kijana: Kwa mfano baba kakupa shilingi 500 na mama kakupa shilingi mia 500 utakua na shilingi ngapi?

Mtoto akajibu: Ntakua na shilingi 500.
Kijana: Kw nini unasema hivyo?
Mtoto: Kw sababu mama hawezi kuipata hiyo 500.

No comments:

Post a Comment