Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, November 9, 2011

Mambo ya facebook

Baba aliingia facebook na kumuandikia mwanae wa kiume kwenye wall yake "Hi Son sio sote wazima, tumekumiss sana.HEBU SHUKA CHINI HARAKA CHAKULA KIPO TAYARI TUNAKUSUBIRI WEWE PUMBAFU.

No comments:

Post a Comment