Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, November 8, 2011

Kutega shule

Simu ilipigwa:
Simu: Haloo naongea na mkuu wa shule?
Mkuu: Ndio, una shida gani?
Simu: Napenda kukutaharifu kuwa mwanangu leo hatoweza kuja shuleni.
Mkuu: Wewe una mahusiano gani huyo mtoto?
Simu: Hiyo ni sauti ya mama yangu inaongea.

No comments:

Post a Comment