Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, November 9, 2011

Gharama...

Mlala hoi alipoenda kwa daktari kupata huduma ya kiafya:
Dokta: Umeshawahi kuzimia?
Mgonjwa: Ndio, mara ya mwisho ulivyonitajia gharama zako.

No comments:

Post a Comment