Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, November 13, 2011

Urithi saluni

Mzee mmoja kutokana na umri aliamua kumpa mwanae saluni yake aiendeshe. Akampa maneno yafuatayo "mwanangu hii kazi inabidi uwe makini sana, wateja wengine wakali na wanatabia ya kugeuka ghafla hivyo angalia usijikate na wembe"

No comments:

Post a Comment