Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, November 8, 2011

Swali harusini

Mtoto: Mama kwa nini bibi harusi anavaa nyeupe?
Mama: Kwasababu ni siku yao ya furaha sana.
Mtoto: Mbona bwana harusi anavaa nyeusi?

No comments:

Post a Comment