Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, November 23, 2011

Nani ana akili

Vijana wawili walienda kuvua samaki wakapata wengi tu. Siku ya pili wakati wanaenda tena:
Kijana 1: Ulikumbuka kuweka alama pale tulipopata samaki wengi?
Kijana 2: Niliweka alama ya x chini ya ile boti tuliyokodi jana.
Kijana 1: We chizi kweli je wakitupatia boti tofauti na jana.

No comments:

Post a Comment