Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, November 14, 2011

Ugomvi mke na mume

Mke akifoka kwa sauti "ushukuru baba yangu ndio katoa pesa ukanunua flat screen, gari na furniture vinginevyo usingekuwa na jeuri #$€$$%*+=."

Mume nae akajibu "ushukuru baba ako katoa hizo pesa vinginevyo nsingekuwa hapa... #€*+"

No comments:

Post a Comment