Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, November 12, 2011

Kitu cha heshma

Mtoto aliona nyeti za baba ake kuuliza akajibiwa "hii ni heshima mwanangu." Siku ya pilivwakaja wageni mtoto akaambiwa awape heshima si akafungua na kutoa nyeti kisha akanena "mnashangaa hizi baba, ana heshima kubwa zaidi"

No comments:

Post a Comment