Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, November 14, 2011

Yuupi?

Jamaa akimsimulia jambo mwenzake "nataka kuoa mwanamke anaejua kupika, anaejiheshimu na alie na mvuto pia."

Rafiki akajibu "enhe! Sasa utamuoa yupi kati ya hao watatu?"

No comments:

Post a Comment