Jamaa alimuuliza rafiki yake ampe ushauri kabla hajaingia kwenye dimbwi la kuitwa mwana-ndoa "eti kaka kitu gani cha kufanya mwanamke awe na furaha maisha ya ndoa"
Rafiki akamjibu "mpende sana mkeo na usijaribu kumu-elewa kuhusu wanawawake"
Karibu Sana.
Cheka Unenepe
Tuesday, August 16, 2011
Miguu ya kuku
Mteja alipofika mgahawani akamuita mhudumu na kumuuliza;
Mteja: Una miguu ya kuku?
Mhudumu: Hapana ninayo hii hii yangu tu.
Mteja: Una miguu ya kuku?
Mhudumu: Hapana ninayo hii hii yangu tu.
Girlfriend na Boyfriend
Boyfriend: Unataka niku-kiss?
Girlfriend: Hapana.
Boyfriend: Unakumbuka swali nlokuuliza.
Girlfriend: Unataka niku-kiss?
Boyfriend: Ndio, usisitizapo tu.
Girlfriend: Hapana.
Boyfriend: Unakumbuka swali nlokuuliza.
Girlfriend: Unataka niku-kiss?
Boyfriend: Ndio, usisitizapo tu.
Monday, August 15, 2011
Mtihani ulivyokawa...
Msichana mmoja akimsimulia boyfriend wake;
Msichana: Ule mtihani ni kama girlfriend?
Mvulana: Unamaanisha nini kufananisha na girlfriend?
Msichana: Ngumu kumuelewa, complication, maswali mengi na majubu yake sasa huwa mhh!
Msichana: Ule mtihani ni kama girlfriend?
Mvulana: Unamaanisha nini kufananisha na girlfriend?
Msichana: Ngumu kumuelewa, complication, maswali mengi na majubu yake sasa huwa mhh!
Mlangoni
Mtu: We mtoto mama yako yupo nyumbani?
Mtoto: ndio. Jamaa akagonga sana hamna aliefungua.
Mtu: We mtoto si umesema mama ako yupo nyumbani?
Mtoto: Ndio yupo, hapa sio tunapoishi.
Mtoto: ndio. Jamaa akagonga sana hamna aliefungua.
Mtu: We mtoto si umesema mama ako yupo nyumbani?
Mtoto: Ndio yupo, hapa sio tunapoishi.
Inzi kwenye supu
Mteja: Mhudumu! Hii supu kuna inzi wawili wameingia...
Mhudumu: Usijali hawajui kuogelea watakufa tu.
Mhudumu: Usijali hawajui kuogelea watakufa tu.
Uoga huu....?
Mwanaume mmoja alisikika akisema "Mke wangu muoga kweli, hadi maji eti anaogopa" Mwenzake akamuuliza "kivipi?"
Njemba akajibu: Si kila nikirudi namkuta akioga na mlinzi wetu.
Njemba akajibu: Si kila nikirudi namkuta akioga na mlinzi wetu.
Kasichana & Kavulana
Ka-sichana: Unafikiri kwa nini Mungu alimuumba msichana kabla ya Mwanaume?
Ka-vulana: Alitaka kutengeneza copy ya mwanamke kabla ya final copy.
Ka-vulana: Alitaka kutengeneza copy ya mwanamke kabla ya final copy.
Sekunde 55
Mgonjwa: Daktari nina sekunde 55 tu kabla sijaaga dunia, nisaidie nisife.
Dokta: Nakuja nisubirie kwa dakika 1 tu.
Dokta: Nakuja nisubirie kwa dakika 1 tu.
Mvua.
Boss: Ally nenda kamuagilie maua muda umefika.
Ally: Boss lakini kuna mvua inanyesha nje.
Boss: Chukua mwavuli.
Ally: Boss lakini kuna mvua inanyesha nje.
Boss: Chukua mwavuli.
Sunday, August 14, 2011
India
Mvuta bangi anamuliza mlevi, "Eti, India iko mbali?"
Mlevi: "Sidhani, kwa sababu tuko na Muhindi mmoja kazini. Huwa anakuja kwa baiskeli kila siku!"
Mlevi: "Sidhani, kwa sababu tuko na Muhindi mmoja kazini. Huwa anakuja kwa baiskeli kila siku!"
Meneja na Sekretari
Boss wa kampuni kamkuta meneja anampa mabusu motomoto sekretari wake akauliza kwa ukali "wewee nakulipa kufanya huu ujinga au?"
Meneja akajibu "hapana boss hii ni for free tu."
Meneja akajibu "hapana boss hii ni for free tu."
Mshahara oyee
Mzee aliporudi nyumbani mwisho wa mwezi swali la kwanza aliloulizwa na mkewe "haya mshahara uko wapi?"
Mume: Nimeshautumia wote, nimenunua kwa ajili ya hapa nyumbani!
Mke: Umenunua nini cha kumaliza laki tano yote?
Mume: Nimenunua raundi kumi za bia tuburudike...
Mume: Nimeshautumia wote, nimenunua kwa ajili ya hapa nyumbani!
Mke: Umenunua nini cha kumaliza laki tano yote?
Mume: Nimenunua raundi kumi za bia tuburudike...
Vimbwanga
Mlevi mmoja aliingia choo cha kike, akawa anakojoa huku amekaa chini mtu akamkuta na kumuuliza "vipi?" Mlevi bila hiyana akajibu "wee huoni tangazo limeandikwa kaa chini wakati wa kukojoa" (choo ni kile kukaa).
Saturday, August 13, 2011
Nani zaidi...
Mama alimuuliza mwanae. "Obama ni nani?"
Mtoto akasema "sijui".
Mama akasema "zingatia masomo."
Mtoto nae akamuuliza mama yake unajua "Jenifer ni nani?"
Mama akajibu "Sijui"
Mtoto akamjibu "Mzingatie sana mumeo!"
Mtoto akasema "sijui".
Mama akasema "zingatia masomo."
Mtoto nae akamuuliza mama yake unajua "Jenifer ni nani?"
Mama akajibu "Sijui"
Mtoto akamjibu "Mzingatie sana mumeo!"
Friday, August 12, 2011
Pombe bwana
Jamaa mmoja baada ya ku-pombeka vya kutosha ugenini mkoa fulani nchini Tanzania alipangisha kwenye hoteli moja ya ghorofa kadhaa. Sasa baada ya kulewa chakari akapanda Bajaj na kumuambia dereva wa bajaj "nipeleke ghorofa ya tano"
Kizee kwa Daktari
Kizee kimoja kilienda kwa daktari wake na mkewe wote wazee. Dokta baada ya kumfanyia uchunguzi wa mwanzo dokta akamuambia babu "nahitaji mkojo wako, haja kubwa kidogo, na mbegu za kiume tufanyie uchunguzi"
Babu akamgeukia mkewe (bibi) nae bibi akamuuliza "nini?"
Babu akauliza "amesemaje dokta?"
Bibi akajibu: Anataka chupi yako.
Babu akamgeukia mkewe (bibi) nae bibi akamuuliza "nini?"
Babu akauliza "amesemaje dokta?"
Bibi akajibu: Anataka chupi yako.
Vimbwanga vya simu
Jamaa mmoja alimpa rafiki yake simu ili atume ujumbe mfupi maana alikua ana shida na hiyo huduma, jamaa alipompatia akampa na sharti "usiandike meseji ndefu sana wino umebaki kidogo sana"
Dawa ya kichwa
Kaka mmoja alienda kwa daktari, "dokta hiki kichwa chaniuma saaana karibu kila siku ipitayo" Dokta akamjibu ngona nikupe mfano, mimi kilinitokea miaka kadhaa nikamuomba mke wangu awe ananikanda kila siku halafu mwishoni nampa penzi murua kikaacha kabisa kuuma"
Wiki kadhaa mbele jamaa akarudi kwa dokta "aisee dokta umenisaidia sana, ile mbinu imenisaidia sana sana. Sasa nimepona" Dokta akajibu "safi sana"
Kabla mgonjwa wake hajaondoka akamuambia "...na dokta sebule kwako pazuri sana"
Wiki kadhaa mbele jamaa akarudi kwa dokta "aisee dokta umenisaidia sana, ile mbinu imenisaidia sana sana. Sasa nimepona" Dokta akajibu "safi sana"
Kabla mgonjwa wake hajaondoka akamuambia "...na dokta sebule kwako pazuri sana"
Monday, August 8, 2011
Nyani wa mzungu
Mzungu alipita na nyani wake mbele ya kigenge cha muuza ndizi, yule nyani akapora ndizi akala. Muuzaji akamkasirikia, mzungu akasema unakasirika nini wakati kala ndugu yako!
Mzungu akaondoka, aliporudi akuta nyani wake kafa. Akauliza kwa nini mmemuua nyani wangu? Muuzaji akajibu hayakuhusu haya mambo ya kifamilia!!
Mzungu akaondoka, aliporudi akuta nyani wake kafa. Akauliza kwa nini mmemuua nyani wangu? Muuzaji akajibu hayakuhusu haya mambo ya kifamilia!!
Sunday, August 7, 2011
Gari inaoshwa
Mzee mmoja alimuagiza mwanae mdogo wa kiume amuoshee gari yake akamuambia "itakate umesikia?" Baada ya muda baba mtu akatoka akamuona baba mwanae anaosha gari na maji ya moto kumuuliza dogo akajibu "si ili itakate baba"
Saturday, August 6, 2011
Mbwa mkali
Nyumba moja yenye geti na kibao kiliandikwa kama tangazo kuwa. "Mbwa mkali" usiku mmoja wezi waliingia kwenye hiyo nyumba wakamuiba na mbwa mwenyewe.
Friday, August 5, 2011
Mtishia mtoto
NILIKUWA kwenye basi natoka kazini narudi nyumbani, kwenye viti vya pembeni yangu kulikuwa na mama mwenye mtoto.
Wakati tunaendelea na safari yule mama alitaka kumnyonyesha mwanawe, mtoto akagoma, mama akamwambia nyonya, kama utaki nampa anko anyonye!"
Anko ni abiria kijana mwanaume aliyekaa na huyo mama.
Mtoto akanyonya kidogo akaacha, mama yake akamtishia tena kumpa anko.
Yule kaka kwa hamaki akasema,"mama uwe na msimamo, nimepitiliza vituo vinne kwa ajili hiyo!
Wakati tunaendelea na safari yule mama alitaka kumnyonyesha mwanawe, mtoto akagoma, mama akamwambia nyonya, kama utaki nampa anko anyonye!"
Anko ni abiria kijana mwanaume aliyekaa na huyo mama.
Mtoto akanyonya kidogo akaacha, mama yake akamtishia tena kumpa anko.
Yule kaka kwa hamaki akasema,"mama uwe na msimamo, nimepitiliza vituo vinne kwa ajili hiyo!
Chabo
Jamaa wakipiga chabo! Ghafla polisi akatokea na kuwauliza "nyiee mnafanya nini hapo" wale masela wakageuka na kumuambia polisi "shhhhh...." Huku wakimuonyesha ishara ya aje na yeye kushuhudia, polisi nae akanogewa.
Wednesday, August 3, 2011
Bajaj - Kioo
Dereva mmoja wa bajaj niliona kioo cha bajaj yake cha mbele kimepasuka kwa pembeni mithili ya jiwe limevunja, kumuuliza kulikoni akajibu "wamenivunjia kioo wakaingia na kuiba laptop"
Wali nyama
Jamaa mmoja kila akienda kuagiza wali nyama anapewa nyama kidogo, siku ya pili akaenda na kuagiza nyama wali....
Monday, August 1, 2011
Umeme
Jamaa mmoja alimtumia msg rafiki "umeme wamekata"
Rafiki akajibu "sie tuna wiki sasa hawajakati"
Jamaa: Hata sie tangu wiki iliyopita.
Baada ya kama saa moja kupita yule aliemtumua msg rafiki ake akamuandikia msg nyingine tena "hee! Kumbe umeme luku umeisha!"
Rafiki akajibu "sie tuna wiki sasa hawajakati"
Jamaa: Hata sie tangu wiki iliyopita.
Baada ya kama saa moja kupita yule aliemtumua msg rafiki ake akamuandikia msg nyingine tena "hee! Kumbe umeme luku umeisha!"
TV Set
Jamaa mmoja alienda nunua Tv baada ya kutajiwa bei akahoji "samahani hii si mnaiita Tv Set?" Muuza duka akajibu "ndio"
Mnunuzi akamalizia "sasa kama ni Tv Set mbona mwanuza moja?"
Mnunuzi akamalizia "sasa kama ni Tv Set mbona mwanuza moja?"
Subscribe to:
Posts (Atom)