Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, August 8, 2011

Nyani wa mzungu

Mzungu alipita na nyani wake mbele ya kigenge cha muuza ndizi, yule nyani akapora ndizi akala. Muuzaji akamkasirikia, mzungu akasema unakasirika nini wakati kala ndugu yako!

Mzungu akaondoka, aliporudi akuta nyani wake kafa. Akauliza kwa nini mmemuua nyani wangu? Muuzaji akajibu hayakuhusu haya mambo ya kifamilia!!

No comments:

Post a Comment