Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, August 28, 2011

Lofa

Dogo mmoja aliingia saloon, kinyozi akawaambia wateja oneni huyu dogo ndio lofa kweli. Akachukua noti ya elfu 10 na 200Tsh. Dogo akachukua 200Tsh.

Kinyozi akanena, mnaona niliwaambia. Baadae mmoja wa wateja alikutana na dogo akamuuliza mbona hukuchukua ile elfu 10? Dogo akajibu "nikiichukua.tu mchezo utaisha"

No comments:

Post a Comment