Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, August 27, 2011

Jamaa na familia yake walienda kutoa mahari mida ya saa moja moja hivi kagiza kameanza kuingia, ghafla umeme ukakatika, mkwe akatamka kwa waliokuja kutoa mahari "pia tulisahau kujumuisha kwenye list ya mahari, jenereta pia linahitajika..."

No comments:

Post a Comment