Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, August 25, 2011

Ubishi ubishi

Walikua wanabishana bwana, njemba moja ikanena "mi nlirudi usiku mkubwa wife akafungua mlango na nyodo, kumkomoa nikaamua kusimama mlangoni mpaka asubuhi na mpaka leo hatugusani"

Rafiki akamuuliza, "haiwezekani? Sa mtoto mmpempatia wapi?" Njemba ikajibu "mi nshasema simgusi mtoto itakua aliiba mimba ya mtu tu si bure"

No comments:

Post a Comment