Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, August 26, 2011

Njemba hizi...?

Njemba mbili zilienza kwenye Pub, wakaagiza vinywaji kisha kila mmoja akafungua mfuko na kutoa burger na kuanza kula. Mhudumu akaja na kuwaambie "samahani hairuhusiwi kula burger yako hapa"
Njemba zikaangaliana wakatikisa bega na kubadilishana burger zao na kuendelea kula.

No comments:

Post a Comment