Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, August 29, 2011

Mzee kwa dokta

Mzee: Dokta mkono wangu wa kushoto unauma sana!
Dokta: Usihofu ni hali ya uzee tu hiyo.
Mzee: Kama ndio hivyo mbona na wa kulia pia unauma?

No comments:

Post a Comment