Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, August 21, 2011

Mziki kwenye simu

Jamaa mmoja alienda kwenye party! Kuna mziki ambao upo kwenye simu yake ukapigwa na Dj kwenye hiyo party, akamuambia Dj "zima mziki mara moja" sekunde kadhaa 1 au 2 zikapita akasema "basi endelea kumbe anabeep tu"

Ikajirudia hivyo kama mara 3 hivi mwisho wa siku kumbe alikuja gundua kumbe ni mziki kwenye party na sio simu yake ikiita.

No comments:

Post a Comment