Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, August 30, 2011

RamliRamli

Jamaa mmoja alienda kwa mganga sasa ile kupiga ramli nk mganga akamuuliza sema shida yako, jamaa akanena "mekuja nna shida ya kulondoa giza la tanesco"

Mganga akamuambia baada ya kupiga ramli "kanunue jenereta shida yote itaisha, lisipowaka leta kuku watatu"

No comments:

Post a Comment