Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, August 27, 2011

Samaki

Kijana mmoja alinunua samaki wawili wa kufuga akawapa majina mmoja A mwingine B. Rafiki ake akamuuliza "sa kwa nini umewapa majina hayo?" Akajibiwa "ili akifa A bado ntabaki na B"

No comments:

Post a Comment