Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, August 15, 2011

Uoga huu....?

Mwanaume mmoja alisikika akisema "Mke wangu muoga kweli, hadi maji eti anaogopa" Mwenzake akamuuliza "kivipi?"
Njemba akajibu: Si kila nikirudi namkuta akioga na mlinzi wetu.

No comments:

Post a Comment