Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, August 5, 2011

USA waligundua mashine ya kukamata wezi:

USA ilikamata wezi 20 kwa siku.
UK ilikamata wezi 50 kwa masaa 10.
Germany ilikamata wezi 80 kwa masaa 6.
Sudan ilikamata wezi 200 kwa saa 1.
Nigeria ilikamata wezi 500 kwa dk 30.
Tanzania ndani ya dk 15 wakaiba na mashine yenyewe.

No comments:

Post a Comment