Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, August 26, 2011

Karanga

Kizee kimoja kwenye daladala alimpa kondakta karanga, baada ya mda akampa tena zingine. Konda akauliza "we mbona huli?"
Kizee akajibu "sina meno" Konda akauliza "sa umenunua za nini?"
Kizee kikajibu "mi napenda chocolate iliopo juu ya karanga tu"

No comments:

Post a Comment