Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, August 14, 2011

Vimbwanga

Mlevi mmoja aliingia choo cha kike, akawa anakojoa huku amekaa chini mtu akamkuta na kumuuliza "vipi?" Mlevi bila hiyana akajibu "wee huoni tangazo limeandikwa kaa chini wakati wa kukojoa" (choo ni kile kukaa).

No comments:

Post a Comment