Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, August 7, 2011

Gari inaoshwa

Mzee mmoja alimuagiza mwanae mdogo wa kiume amuoshee gari yake akamuambia "itakate umesikia?" Baada ya muda baba mtu akatoka akamuona baba mwanae anaosha gari na maji ya moto kumuuliza dogo akajibu "si ili itakate baba"

No comments:

Post a Comment