Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, August 6, 2011

Mbwa mkali

Nyumba moja yenye geti na kibao kiliandikwa kama tangazo kuwa. "Mbwa mkali" usiku mmoja wezi waliingia kwenye hiyo nyumba wakamuiba na mbwa mwenyewe.

No comments:

Post a Comment