Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, August 12, 2011

Pombe bwana

Jamaa mmoja baada ya ku-pombeka vya kutosha ugenini mkoa fulani nchini Tanzania alipangisha kwenye hoteli moja ya ghorofa kadhaa. Sasa baada ya kulewa chakari akapanda Bajaj na kumuambia dereva wa bajaj "nipeleke ghorofa ya tano"

No comments:

Post a Comment