Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, August 23, 2011

Ulevi noma

Mlevi mmoja mchana wa jua kali alikua tayari pombe mtu, akapanda daladala sasa lile joto na hewa nzito si akazomea ardhi (kutapika), baada ya hapo akamuambie kondakta "konda njoo udeki" punde kwenye foleni akaona bajaj nje ipo kwenye foleni mlevi akanena "wee dereva wa bajaj una ufagio?"

No comments:

Post a Comment