Vijana wawili walienda kuvua samaki wakapata wengi tu. Siku ya pili wakati wanaenda tena:
Kijana 1: Ulikumbuka kuweka alama pale tulipopata samaki wengi?
Kijana 2: Niliweka alama ya x chini ya ile boti tuliyokodi jana.
Kijana 1: We chizi kweli je wakitupatia boti tofauti na jana.
Karibu Sana.
Cheka Unenepe
Wednesday, November 23, 2011
Gereji
Jamaa alipeleka gari yake kwa fundi:
Jamaa: Fundi gari yangu nkikata kushoto wakati inatembea inapiga kelele na kulia ivo ivo.
Fundi akaicheki huku na kule na baadae kudai chake.
Fundi: Gharama yake itakuwa elfu 20.
Jamaa: Tatizo lilikua nini?
Fundi: Tatizo bado lipo, ukifika kalishushe bakuli lipo kwenye buti ya gari yako.
Jamaa: Fundi gari yangu nkikata kushoto wakati inatembea inapiga kelele na kulia ivo ivo.
Fundi akaicheki huku na kule na baadae kudai chake.
Fundi: Gharama yake itakuwa elfu 20.
Jamaa: Tatizo lilikua nini?
Fundi: Tatizo bado lipo, ukifika kalishushe bakuli lipo kwenye buti ya gari yako.
Nikune
Mke alimuomba mumewe "mume wangu naomba nikune mgongoni sijifikii" mume akaanza kumkuna, punde mke akajibu "tayari mume wangu" mume nae akajibu "ngoja kwanza sijamaliza"
Mke: Khaa mgongo si wangu mie...
Mke: Khaa mgongo si wangu mie...
Tuesday, November 22, 2011
Kifo
"Ingekua kufa unakufa leo siku ya tatu unafufuka mtu akiniua tu nkifufuka siku ya tatu na mimi namuua" alisikika kijana akinena.
Monday, November 21, 2011
Kahawa
Mteja: Naomba nipatie kahawa bila maziwa tafadhali.
Mhudumu: Maziwa tumeishiwa labda nikupe kahawa bila sukari.
Mhudumu: Maziwa tumeishiwa labda nikupe kahawa bila sukari.
Hotelini na glass
Mteja: Naomba nletee glass safi, maana jana ulinipatia chafu.
Aliporudi mhudumu akaenda pale walipo wale wateja wawili na kunena.
Mhudumu: Nani kati yenu ameagiza glass safi?
Aliporudi mhudumu akaenda pale walipo wale wateja wawili na kunena.
Mhudumu: Nani kati yenu ameagiza glass safi?
Panya
Mteja: Hotelini kwenu mnajitahidi sijaona panya kabisa.
Mhudumu: Watatokea wapi na chakula chapikwa kibaya.
Mhudumu: Watatokea wapi na chakula chapikwa kibaya.
Sunday, November 20, 2011
Swali darasani
Mwalimu: Kuku ni jamii ya ndege je nyoka na samaki.
Mwanafunzi: Nyoka ni jamii ya treni na samaki jamii ya meli.
Mwanafunzi: Nyoka ni jamii ya treni na samaki jamii ya meli.
Saturday, November 19, 2011
Msiba wapi
Bibi alipotea asijue msiba wapi akauliza vijana pale kijiweni. Wakamteka na kwenda kumla uroda. Walipomaliza bibi akawauliza wale vijana "haya na arobaini lini nije tena?"
Wednesday, November 16, 2011
Tv na kochi
Jamaa: ...wameniibia kila kitu kasoro Tv na kochi.
Polisi: Imekuwaje waibe vyote waacha ivo tu?
Jamaa: Wakati wanaiba nlikua naangalia Tv kwenye kochi.
Polisi: Imekuwaje waibe vyote waacha ivo tu?
Jamaa: Wakati wanaiba nlikua naangalia Tv kwenye kochi.
Monday, November 14, 2011
Yuupi?
Jamaa akimsimulia jambo mwenzake "nataka kuoa mwanamke anaejua kupika, anaejiheshimu na alie na mvuto pia."
Rafiki akajibu "enhe! Sasa utamuoa yupi kati ya hao watatu?"
Rafiki akajibu "enhe! Sasa utamuoa yupi kati ya hao watatu?"
Vioja msibani
Mh. Mmoja alipopewa nafasi ya kuongea neno,alipokuwa msibani ambae ni mwana siasa wa siku nyingi alianza kwa kusema "msiba oyee"
Ugomvi mke na mume
Mke akifoka kwa sauti "ushukuru baba yangu ndio katoa pesa ukanunua flat screen, gari na furniture vinginevyo usingekuwa na jeuri #$€$$%*+=."
Mume nae akajibu "ushukuru baba ako katoa hizo pesa vinginevyo nsingekuwa hapa... #€*+"
Mume nae akajibu "ushukuru baba ako katoa hizo pesa vinginevyo nsingekuwa hapa... #€*+"
Kero za mke
Mwanamke: Kama mumeo anakukera kila siku si uachane nae unde zako tu.
Mke: Sitaki kufanya kitu chochote kitachompa furaha kikiwemo icho.
Mke: Sitaki kufanya kitu chochote kitachompa furaha kikiwemo icho.
Machinga complex
G: Hiivi kwa nini Mbeya na Tabora wasiwajengee machinga complex yao?
P: Aah wale wawatolee fotokopi halafu wawapelekee tu.
P: Aah wale wawatolee fotokopi halafu wawapelekee tu.
Sunday, November 13, 2011
Video library
Mteja alienda video library kuazima sinema ya kuangalia ikawa hivi:
Mteja: Nimekuja kuchukua Batman forever si ipo?
Mhudumu: Ipo ndio ila yapaswa kurudishwa sio kuichukua forever.
Mteja: Nimekuja kuchukua Batman forever si ipo?
Mhudumu: Ipo ndio ila yapaswa kurudishwa sio kuichukua forever.
Kwa dentist
Dokta: Embu acha hizo kelele sijaanza hata kung'oa jino lenyewe.
Mgonjwa: Ndio najua, toa mguu wako umenikanyaga vidole vyangu vyote.
Mgonjwa: Ndio najua, toa mguu wako umenikanyaga vidole vyangu vyote.
Urithi saluni
Mzee mmoja kutokana na umri aliamua kumpa mwanae saluni yake aiendeshe. Akampa maneno yafuatayo "mwanangu hii kazi inabidi uwe makini sana, wateja wengine wakali na wanatabia ya kugeuka ghafla hivyo angalia usijikate na wembe"
Saturday, November 12, 2011
Kesi ya mke na mume
Mwanamke aliulizwa "nini alisema kwako mumeo mpaka yakawa haya ya kumtwanga na kiti?" Mwanamke akajibu "jina langu naitwa Irene sio Judith, sa muulizeni Judith ni nani?"
Mifupa ya binadamu
Jamaa akipewa majibu na daktari wake baada ya uchunguzi "inaonekana mifupa ya miguuni mwako imekua laini sana saasa..." Akamkatisha na kumuambia "shhh taratibu dokta hapo nje kuna mbwa wanne watasikia"
Kitu cha heshma
Mtoto aliona nyeti za baba ake kuuliza akajibiwa "hii ni heshima mwanangu." Siku ya pilivwakaja wageni mtoto akaambiwa awape heshima si akafungua na kutoa nyeti kisha akanena "mnashangaa hizi baba, ana heshima kubwa zaidi"
Friday, November 11, 2011
Swali la mtego
Mwalimu: Uliona wapi bahari isiyokua na maji au dunia isiyo na watu?
Mwanafunzi: Si kwenye ramani au atlas.
Mwanafunzi: Si kwenye ramani au atlas.
Uzurulaji
Askari wa doria: Wewe kijana unafanya shughuli gani hapa mjini?
Kijana 1: Sina nnachofanya sina ajira kabisa.
Polisi: Na wewe mwingine unafanya shughuli gani?
Kijana 2: Mie ni boss wake.
Kijana 1: Sina nnachofanya sina ajira kabisa.
Polisi: Na wewe mwingine unafanya shughuli gani?
Kijana 2: Mie ni boss wake.
Jumba la makumbusho
Jamaa bahati mbaya aliangusha bakuli la kuvunjika likavunjika ndani ya jumba la makumbusho. Askari akaja na kusema "mungu wangu hicho ulichovunja ni cha miaka 2000 iliyopita"
Aliyeangusha akajibu "ohh afadhali mi nilidhani kipya"
Aliyeangusha akajibu "ohh afadhali mi nilidhani kipya"
Baridi kali
Juma: We vipi mbona unatetemeka mikono.
China: We huhisi baridi kama mimi?
Juma: Sa si ingiza mikono mfukoni mwa suruali.
China: Mifuko imejaa nimeweka gloves.
China: We huhisi baridi kama mimi?
Juma: Sa si ingiza mikono mfukoni mwa suruali.
China: Mifuko imejaa nimeweka gloves.
Swali na jibu
Kijana alimuuliza maswali ya chemsha bongo mtoto:
Kijana: Kwa mfano baba kakupa shilingi 500 na mama kakupa shilingi mia 500 utakua na shilingi ngapi?
Mtoto akajibu: Ntakua na shilingi 500.
Kijana: Kw nini unasema hivyo?
Mtoto: Kw sababu mama hawezi kuipata hiyo 500.
Kijana: Kwa mfano baba kakupa shilingi 500 na mama kakupa shilingi mia 500 utakua na shilingi ngapi?
Mtoto akajibu: Ntakua na shilingi 500.
Kijana: Kw nini unasema hivyo?
Mtoto: Kw sababu mama hawezi kuipata hiyo 500.
Swali la mwalimu
Mwalimu aliuliza swali "enhe Juma, baba yako akikupa shilingi 150 na mama yako akikupa shilingi 150 utakua na shilingi ngapi?"
Mwanafunzi akajibu "ntapata kijoti"
Mwanafunzi akajibu "ntapata kijoti"
Mabusu motomoto
Sam: Huwa nini m-kiss mke wangu kila siku kabla sijaenda kazini.
Ibra: Hata mimi namfanyia hivyo ukisha ondoka tu.
Ibra: Hata mimi namfanyia hivyo ukisha ondoka tu.
Macho mabovu
Mgonjwa: Dokta nasumbuliwa na macho sana siku hizi.
Mtu: Ni kweli unahitaji hapa ni mgahawani nenda,hospitali.
Mtu: Ni kweli unahitaji hapa ni mgahawani nenda,hospitali.
Wednesday, November 9, 2011
Ya usiku
Ilikuwa hivii:-
MTOTO: Eti baba unataka kuanza tena shule?
BABA: Kwa nini unauliza ivyo?
MTOTO: Jana ucku nlisikia mama anakwambia anataka muende la pili! Uthikubali baba utachekwa!
MTOTO: Eti baba unataka kuanza tena shule?
BABA: Kwa nini unauliza ivyo?
MTOTO: Jana ucku nlisikia mama anakwambia anataka muende la pili! Uthikubali baba utachekwa!
Subscribe to:
Posts (Atom)