Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, December 27, 2010

Alarm system

Jamaa mmoja alibahatika kununua gari, sasa kwa vile mpaka anainunua gari yake mpaka inakaa barabarani akawa kama ameshaishiwa hela. na akihitaji kweli kuweka alarm system mapema awezavyo. Akapata wazo la ziada la kusogeza siku, si akallipaka pilipili gari lote. Halafu kichwani akiwaza "dah hapa itakua sijamkomesha mwizi ataejitokeza hasa kama ni mhindi"

No comments:

Post a Comment