Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, December 16, 2010

Mgonjwa kulazwa

Mgonjwa mmoja wa malaria alipoenda hospitali akaambiwa alazwe kulingana na hali aliyokua nayo. Bahati mbaya akaambiwa wodi na vitanda vyoote vimejaa, jamaa (mgonjwa) akadakia na kusema ''ina maana hata mochuari nako kumejaa? Nipelekeni huko''

No comments:

Post a Comment