Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, December 29, 2010

Maji

Siku moja familia moja ilienda mikumi kuangalia wanyama. Sasa wakati wanaangalia angalia wakaona pundamilia wakiwa pembezoni mwa mto wakinywa maji.

Mtoto akamuuliza baba yake, ''sasa baba hawa pundamilia maji yao yamechemshwa kweli?''

No comments:

Post a Comment