Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, December 9, 2010

Kuopoa bar

Jamaa mmoja alienda Bar, akamuona mrembo mmoja akamuomba wakae nae meza moja.
Wakati wanapiga stori. Jamaa akawa anamuambia yule mwanamke, ''onja basi bia kidogo''

M-dada akajibu ''ooh mimi sinywi bia kabisa''
Jamaa akasisitiza zaidi ''jaribu tu si kidogo tu''
Mwanamke, ''nna dozi bwana leo''
Jamaa: Yaani kidogo tu, dozi gani hiyo bwana?''
Mwanamke: Nipo kwenye dozi ya ARV kaka....

No comments:

Post a Comment