Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, December 13, 2010

Kigugumizi

Vijana watatu walikuwa wanasafiri toka Dar kwenda Morogoro na gari ndogo. Ghafla maeneoo ya kimara akakatisha jamaa na guta/mkokoteni wakamkosa kosa. Yule mwenye kigugumizi akawa anatukana sasa kile kigugumizi akaanza tangu eneo la tukio mpaka anafika Kibaha ndio akalipata tusi alilokilitamka...

No comments:

Post a Comment