Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, December 2, 2010

Mvua

Jamaa mmoja alimpigia simu jamaa yake simu na kumuuliza, ''aisee za masiku? Mvua vipi huko inanyesha?''
Jamaa ake akajibu ''nzuri tu, ila mvua ndio inanyesha!''
Alieuliza mwanzo akanena, ''dah! Hadi mvua ya mgao mbona huku hainyeshi!!?''

No comments:

Post a Comment