Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, November 30, 2010

Gari kutoa moshi

Mtoto mmoja aliporudi nyumbani toka shuleni akawa anamsimulia baba yake, ''baba leo tumepelekwa jumba la makumbusho tumejifunza mengi''

Baba akanena, ''safi sana mwanangu.''
Mtoto: Pia nimewaambia waje nyumbani kukuona.
Baba: Enh??!! Kuniona? Akina nani?
Mtoto: Si watu wa makumbusho:

Baba: Mimi wananifuata ili iweje.
Mtoto: Nimewaambia baba angu ana gari la zamani na linatoa sana moshi, na wao wanataka gari la zamani linalotoa moshi mwing kama lako.

No comments:

Post a Comment