Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, November 16, 2010

Teja

Teja moja (bwia unga) alikuwa kituo cha daladala akiitia/piga debe daladala ''tandika tandika gari...'' huku anasinzia na ule ulevi wao wa kubwia unga.
Kuja kuhamaki ''kumbe daladala ishatimua kitaambo kama dakika tano zilizopita''

No comments:

Post a Comment