Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, November 7, 2010

Mjane

Mjane mmoja tajiri alibandika tangazo limeandikwa hivi ''nahitaji mwanaume mwenye sifa zifuatazo:
1. Asinipige
2. Asinikimbie
3. Awe mzima kitandani

Baada ya kupata maombi mengi siku moja akagongewa na mwanaume hana mikono wala mguu. Akamuuliza ''enhe sasa wewe ndio....''

Mwanaume akajibu, ''si unaona sina mikono so siwezi kukupiga, sina miguu siwezi kimbia''
Mjane: Na je kitandani je?
Mwanaume: We unadhani kengele nimegongaje?

No comments:

Post a Comment