Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, November 12, 2010

Mmassai na mzigo

Mmasai mmoja alipewa lifti kwenye kenta alikuwa amejibebesha mzigo kichwani. Alipopanda kwenye kenta akawa bado mzigo wake upo kichwani. Wakamuambia aushushe tu si yupo kwenye gari mmasai yule akakataa katu katu.

No comments:

Post a Comment