Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, November 29, 2010

Unataka kusoma nini

Baba mmoja alikaa kibarazani na mwanae wa miaka minne akiongea nae, akamuuliza swali ''mwanangu ukikua mkubwa ungependa kusoma nini?''

Mtoto nae bila hiyana akamjibu Dad yake, ''mimi baba? Nikikua nataka nisome magazeti''

No comments:

Post a Comment