Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, November 3, 2010

Neno mbadala

Mwanaume mmoja shule yake iliishia darasa la saba alienda kwa daktari na maongezi yao yakawa hivi:
M'ume: Dokta, mke wangu ni mvivu sana, nimekuja unisaidie.
Dokta: Enhe nikusaidiaje?
M'ume: Nataka unipe neno la kidaktari la kumaanisha kuwa yeye ni mvivu mnoo. Maana nkimuambia kavukavu atanijeruhi leo.

No comments:

Post a Comment