Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, November 26, 2010

Ajali kusimulia

Dogo mmoja akiwasimulia wenzake ''dah, baba angu si kapata ajali?''
Dogo wa pili, ''kagongwa na gari?''
Dogo wa kwanza, ''ndio! Yaani bora kagongwa na benz kuliko ingekuwa corolla''

No comments:

Post a Comment