Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, November 10, 2010

Mgeni

Mtoto: Mama... Maaama!
Mama: Abee mwanangu unasemaje?
Mtoto: Eti mama, kwani baba amekuwa mgenisiku hizi?
Mama: Hapana kwani vipi mwanangu?
Mtoto: Si jana na leo memuona anaingia na mdada nyumba ya kulala wageni.

No comments:

Post a Comment