Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, November 11, 2010

Samaki wa kukaanga

Siku moja mtoto mmoja alienda kuogelea, aliporudi nyumbani akakuta wamepika ugali na samaki. Papo hapo akatamka ''hee!! Mama huyu samaki sio ameletwa na mzee idrisa?''

Mama akajibu ''ndio mwanangu, kwani vipo''
Mtoto akajibu tena, ''basi kama ndie aliemleta nilimuona huyu samaki alikuwa ana mimba''

No comments:

Post a Comment