Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, November 1, 2010

Jicho

Marafiki wawili wakiongea, mmoja akimuambia mwenzake jambo linalomsumbua!
Rashid: Ebwana mi jicho langu lanisumbua.
Ima: Linafanyaje kwani?
Rashid: Linakua kama lina kidoti hivi kwa mbele nakiona ona.
Ima: Umemuona Daktari?
Rashid: Hapana nakiona kidoti tu nlichokuambia.

No comments:

Post a Comment