Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, November 14, 2010

Mswaki

Jamaa mmoja alienda kwa rafiki yake na kumuambia nna bidhaa nauza ikiwemo miswaki!
Jamaa anae uziwa akanunua.

Kesho yake jamaa akapita tena ''aisee mswaki ulioniuzia mzuri nimeupenda sana.''
Jamaa akamjibu ''asante sana ipo mingine kama unataka yote used kama nliokuuzia''

No comments:

Post a Comment