Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, November 16, 2010

Dawa ya usingizi

Jamaa: Dokta zile dawa ulizonipa jana mbona ni za usingizi?
Dokta: Ndio, si ndio ulizotaka nikupatie?
Jamaa: aah mi nlitaka za kulala sio za usingizi.

No comments:

Post a Comment